1856
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1820 |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850
| Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| ►
◄◄ |
◄ |
1852 |
1853 |
1854 |
1855 |
1856
| 1857
| 1858
| 1859
| 1860
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1856 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 12 Januari - John Singer Sargent, mchoraji kutoka Marekani
- 15 Juni – Edward Channing (mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1926)
- 10 Julai - Nikola Tesla, mwanafizikia kutoka Austria-Hungaria
- 26 Julai - George Bernard Shaw (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1925)
- 27 Septemba - Karl Peters (alianzisha koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani)
- 18 Desemba - Joseph John Thomson, mwanafizikia kutoka Uingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1906
- 22 Desemba - Frank Kellogg (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1929)
- 28 Desemba - Woodrow Wilson (Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1919)
bila tarehe
- Mtakatifu Andrea Kaggwa, mmojawapo wa Wafiadini wa Uganda
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 3 Mei - Adolphe Adam (mtungaji wa muziki Mfaransa)
- 29 Julai - Robert Schumann, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani
- 24 Agosti - Mtakatifu Emilia wa Vialar, bikira wa Ufaransa
- 19 Oktoba - Said bin Sultani wa Maskat, Omani na Zanzibar
